logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hisia mseto baada ya Bahati na Diana Marua kuvaa nguo za kike zinazofanana (+video)

Bahati alichapisha video akiwa amevalia vazi jekundu lililolingana na mkewe

image
na

Burudani03 June 2024 - 11:28

Muhtasari


•Bahati alichapisha video akiwa amevalia vazi jekundu lililolingana na mkewe, Diana Marua, jambo lililowafurahisha na kuwaudhi wengi mtaondaoni.

•Sehemu ya wanamtandao walimkashifu mwanamuziki huyo aliyegeuka-mwanasiasa kwa kufaa nguo za bibi yake.

Mwanamuziki Kelvin Kioko almaarufu Bahati kwa mara nyingine tena amezua hisia mseto baada ya kuvalia nguo sawa na bibi yake Diana Marua.

Baba huyo wa watoto watano alishiriki video akiwa amevalia mavazi mekundu yanayolingana na mkewe, Diana Marua, mnamo Juni 1, Siku ya Madaraka.

Wapenzi hao pia walilinganisha mikoba na viatu virefu, na kuwaacha mashabiki wao wakiwa wamefurahishwa.

Bahati alisema kuwa sababu ya kutotoka nje ni kwa sababu waligundua walikuwa wamevalia mavazi yanayolingana.

"Sababu ya Kukaa nyumbani katika Likizo hii ya Madaraka Day #TheBahatis,” aliandika.

 

Wakijibu video hiyo, baadhi ya mashabiki walimkashifu mwanamziki huyu kwa tukio hio

Miss.shakes said:

 "Y'all my favourite couple right there ❤️❤️."

Vancekims said:

 "Our incoming MP for Mathare."

Billwonderke said:

 "It is not funny anymore."

 Warsameresofficial said:

Your favourite MP ‍♂️."

 Davinchiclassic said:

 "This is becoming too much buana."

Evline_madowo said:

 "Have just realized that Bahati is more curvier than me ."

 Its_ajaab said:

"This is the guy who was crying for his mom's love and now this."

 Namelesskenya said:

 " I knew it."


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved