logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Sema Na Raey: Wanaume Wawili Wapigania Mwanadada Hewani

Sema Na Raey: Wanaume Wawili Wapigania Mwanadada Hewani

image
na

Habari01 October 2020 - 20:34

Hivi majuzi kulikuwa na kizazaa katika kipindi cha 'Sema Na Raey'.

Jamaa mmoja kwa jina Ken alidai kuwa anamshuku mkewe wa miaka mitano kuwa ana uhusiano na jamaa kwa jina Collins, akidai kuwa anashuku uhusiano huo umekuwa ukiendelea kwa miaka miwili sasa.

Wawili hao walianza kujibizana huku Collins akikubali makosa yake lakini bwana Ken bado akishuku kuwa bado uhusiano huo unaendelea.

Pata uhondo kamili.

&feature=youtu.be


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved