logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PATANISHO: Tulitengana na bwana yangu 2014 lakini haoneshi hamu ya kurudiana

PATANISHO: Tulitengana na bwana yangu 2014 lakini haoneshi hamu ya kurudiana

image
na

Habari02 October 2020 - 12:07
Rachel lituma ujumbe akiomba apatanishwe na aliyekuwa mume wake bwana Kenneth, ambaye walitengana mwaka wa 2014 akidai kuwa wamekuwa wakizungumza tangia mwaka huo.

Isitoshe anataka kuwa karibu na mumewe lakini hana uhakika kama bado wako kwa uhusiano au la.

"Tunazungumza naye lakini ile ikifika kumwambia achukue hatua turudiane kama bibi na bwana huwa anakataa." Alieleza bi Rachel.

Kile kilifanya tuwachane ni baada yake kuniwacha kwa nyumba mtoto akiwa mgonjwa na hakuwahi rudi." Wawili hao walikuwa wamejaliwa mtoto mmoja lakini aliaga dunia.

Katika harakati ya kutengana walijaliwa mtoto mwingine lakini bado Kenneth hajaonesha hamu ya wao kurudiana.

Kenneth alikata simu pindi tu Gidi alipojitambulisha.

Pata uhondo kamili.

&t=129s


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved