Katika wimbo wa Never Give Up, Konde Boy anafunguka kuhusu maisha yake ya awali. Zaidi ya hapo pia anaeleza jinsi babake mzazi alikwazika alipoanza kuimba.
Harmonize ni kati ya mastaa katika lebo ya WCB wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki Afrika mashariki na Afrika ya kati. Mkurugenzi wa lebo hiyo Diamond Platnumz amenukuliwa akisema kuwa harmonize anaingiza hela nyingi katika muziki na uwekezaji katika Zoom production na Kenny.
Tazama hapa magari mapya kwa wazazi wake:
https://www.instagram.com/p/ByqCh-vn9mQ/