logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Harmonize awanunulia wazazi gari mpya

Harmonize awanunulia wazazi gari mpya

image
na

Habari02 October 2020 - 01:57
harmonize-696x365 (1)
Staa wa muziki Tanzania Harmonize jana amewatunuku zawadi ya kifahari wazazi wake. Msanii huyu ambaye anafanya vizuri na nyimbo kubwa ya Never Give Up ame3dondosha nyimbo mpya na mshikaji wake wa karibu Dully Sykes.

Katika wimbo wa Never Give Up, Konde Boy anafunguka kuhusu maisha yake ya awali. Zaidi ya hapo pia anaeleza jinsi babake mzazi alikwazika alipoanza kuimba.

Harmonize ni kati ya mastaa katika lebo ya WCB wanaofanya vizuri katika tasnia ya muziki Afrika mashariki na Afrika ya kati. Mkurugenzi wa lebo hiyo Diamond Platnumz amenukuliwa akisema kuwa harmonize anaingiza hela nyingi katika muziki na uwekezaji katika Zoom production na Kenny.

Tazama hapa magari mapya kwa wazazi wake:

https://www.instagram.com/p/ByqCh-vn9mQ/


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved