logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rayvanny ashtumiwa kutoka kimapenzi na Lulu. Dogo kafuata nyayo za Diamond Platnumz

Rayvanny ashtumiwa kutoka kimapenzi na Lulu. Dogo kafuata nyayo za Diamond Platnumz

image
na

Habari02 October 2020 - 03:06
Kwa kile kinachoonekana kama Dogo Rayvanny kufuata nyayo za mkurugenzi wa lebo ya Wasafi na staa mkubwa barani Afrika Diamond Platnumz, taarifa kitaani zinakwenda kuwa huenda dogo anachepuka kimapenzi na muigizaji ambaye aliwahi kuhukumiwa kosa la mauaji.

Jisomee hadithi hapa:

Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, Elizabeth “Lulu” Michaels anaonekana katika matukio zaidi ya moja akiwa katika hali tatanishi na staa huyu wa Tetema taarifa na ambazo baby mama wa Rayvanny  Fahyma amezikana.

Pata uhondo kamili:

Wanasema kuwa mapenzi ni kama kikohozi hayafichiki. Iwapo kweli staa huyu anachepuka na kusaliti penzi la baby mama litakuja kujiweka wazi. Rayvanny anatamba na mkwaju wa Tetema ambao ulipata kufungiwa kuchezwa katika vyombo ya habari nchini.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved