logo

NOW ON AIR

Listen in Live

''Simba ana sifa nyingi,ni mtu wa wake watatu''Diamond asema

''Simba ana sifa nyingi,ni mtu wa wake watatu''Diamond asema

image
na

Habari02 October 2020 - 03:33

Diamond Platnumz ajuklikanaye kama Simba alizuru mbuga ya wanyama na akizungumza na vyombo vya habari alipoulizwa ni tabia zipi za simba zinazo fanana naye alisema,

“SI KILA SIKU KUPIGA PICHA NA MA-SLAY QUEEN HOTELINI JAMANI. SIMBA ANA SIFA NYINGI, NI MTU WA WAKE WAWILI WATATU.

SIMBA NI MTU MKARIMU SANA, MTU WA WATU, ILA UKIMCHOKOA, UNAISHA.”

Si maraa ya kwanza Simba kukubali na kusema kuwa, ana wake wengi.

Katika mahojiano mwaka ulipota, Diamond aliema kuwa, dini yake inamkubalia kuwa na wake wengi na si shida kwake kuwa na wake wengi.

Jamaa huyu amekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mab9nti wengi sana kama Zari Hassan, Hamisa Mobetto, Mheshimiwa Jokate Mwegelo, Jacqueline Wolper,Wema Sepetu ,Lulu Diva na kwa sasa ana binti wetu wa kenya,Tanasha Donna.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved