logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ujumbe wa mamake Hamisa Mobetto baada ya tuzo la gari

Ujumbe wa mamake Hamisa Mobetto baada ya tuzo la gari

image
na

Habari02 October 2020 - 10:27

Ama kwa hakika,Hamisa hakutudanganya aliposema kuwa maisha upande wake ni matamu kwani binti huyu anaendelea vyema kweli maishani.

Kidosho Hamisa ameonekana kama baraka kwa mama yake mzazi kwa kutumia pesa zake anazozipata kupitia usanii wake na biashara zake, ameweza kumbariki mama yake na gari nzuri kweli.

Kama desturi ya wazazi,endapo mtoto amefaulu maishani wazazi au waliomlea mtoto huyu watajawa na furaha si kidogo kwani kupitia kufaulu huku, ni wazi kuwa mtoto huyu alitilia maanani yte aliyofunzwa akiwa mchanga na kusadiki methali,asiyeskia la mkuu huvunjika guu.

Aidha ni wazi kuwa mtoto huyu anajifunga kibwebwe kufaulu maishani na si kulaza damu tu.

Hebu tazama vile ambavyo mama yake Hamisa alifurahia.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved