logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fayma azungumzia mimba ya Nana, asema sio ya Rayvanny

Fayma azungumzia mimba ya Nana, asema sio ya Rayvanny

image
na

Michezo02 October 2020 - 04:17
Rayvanny
Mke wa staa wa muziki Rayvanny amesema kuwa Nana ana mimba ya miezi minne.

Akihojiwa na Global TV publishers, Fayma amesema kuwa wanaomhusisha Rayvanny na mimba ya Nana hawana akili.

"Mimi siwezi nikazungumzia chochote na huyo mdada kwa sababu amefanya tu wimbo na baba mtoto wangu lakini vitu zingine sizijui..."

Fayma amesema kuwa bwanake Nana alikuwepo kipindi Rayvanny anashoot video ya I Love You.

"Ninachokijua ni kuwa ni mjamzito wa miezi minne niliambiwa hivo na mwanamume wake the day of the video alikuwepo akimsimamia akifanya video..."

Matamshi yake Fayma yanajiri huku Rayvanny akikana taarifa za kutoka kimapenzi na Nana,

“Sipo kwenye mahusiano na Nana, tena ana mahusiano yake ambayo nayaheshimu sana sana.Kichupa ni kizuri kwani kinaonyesha ukweli na mapenzi yapo. Nilitaka video hiyo iwe jinsi ilivyo..” Rayvanny aliongeza.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved