Mda mchache tu wakenya kutoka tabaka mbali mbali walirukia picha hiyo na kutoa maoni yao;
Kenzo Matata: Utaskia ilikuwa 2 million 😝
Matwana culture: Hawa watu wanatuaibisha
Kriserroh: kwa ground ni kugumu bro.
Siri: wangepanda tu Cyprus tree😃
Steic: And you may find a receipt of 1million expense for Christmas tree ........
Frazer: 🤣🤣🤣🤣😂😂😂🙌 ukichunguza budget ya xmas tree ilikuwa na committee...3 million only for it to disappear and this to show up...kenyans🤦♀️
Tazama picha hii,