Afunguka A-Z faida ya biashara ya kuuza viungo vya mwili vya wanawake

Melons-696x696
Melons-696x696
Jamaa amefunguka A-Z jinsi alivyohusika katika biashara chafu ya kuuza viungo vya mwili vya wanawake.

Biashara ya dogo huyu ilikuwa ya kuuza matiti peke yake.

Idea au dili hii ya kibiashara ilitokana na rafiki yake aliyekuwa na msimamo kuwa lazima watafute utajiri wa haraka haraka.

Kilichomvutia katika biashara hii ni kuwa dili ilikaa freshi na ingewatengenezea kima cha laki moja pindi wanapouza.

Jamaa huyu ambaye tunampa jina la msimbo kama John asimulia.
"Tuliitwa sehemu town ila siwezi kuimbuka kwa sasa kwani walitulewesha kabisa tukawa hatujiskii. Kwa kisu wakatukata na tukapewa damu tukakunywa. Hii ilikuwa oath ya kuingia katika biashara ya kuuza sehemu hizi za mwili..."
"Tulikuwa tunaenda mtaani EastLeigh kununua dawa aina ya Flexture ya kuwafanya wanawake wapoteze fahamu ndio tukate sehemu zao za siri..."

"Tuliruhusiwa kukata titi moja la upande wa kulia ili asifariki..."

"Kitita cha pesa kilitegemea ukubwa wa titi. Doh ilikuwa kati ya 25,000- 80,000..."

Hatimaye maafisa wa polisi waliwashika na kuwafunga jela.

"Wakati story zilisambaa tukaanza kutembelea maeneo ya ajali. Kuna time pia tungefanya order katika mortuary ya Kenyatta. Wakati polisi walijua tukashikwa tukafungwa."