logo

NOW ON AIR

Listen in Live

PICHA YA SIKU: Manang'oi amzawadi Ghost Mulee na viatu vya riadha

PICHA YA SIKU: Manang'oi amzawadi Ghost Mulee na viatu vya riadha

image
na

Burudani02 October 2020 - 04:42
manang.oi.1
Bwana Ghost Mulee ni gwiji wa kadanda humu nchini na katika fani yake yeye amefanya urafiki na ma gwiji wengi kutoka nyanja mbalibali, humu nchini na hadi ng'ambo.

Miongoni mwa marafiki hao nikutoka nyanja ya riadha na marafiki wake wa dhati ni Asbel Kiprop na Elijah Manang'oi ambaye ndiye anashikilia ubingwa wa mbio za mita 1500 za Commonwealth na pia ubingwa wa Africa nzima.

Hapo jana akiwa katika harakati zake za kadanda, bwana Ghost Mulee alipatana na Manang'oi na gwiji huyo akamtunuku viatu murwa kabisa vya riadha kutoka kampuni ya Nike.

Kupitia mtandao wake, Ghost alimshukuru Manang'oi akimuombea baraka tele.

Alisema,

Thank you 1500 mtrs World, Commonwealth,African champion for this Nike running shoes. God bless a giving heart.Thanks Inspector Elijah Manangoi for the shoes.

https://www.instagram.com/p/B7UHjD4F8yc/


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved