logo

NOW ON AIR

Listen in Live

zinakaa vitenge! Wakenya wazungumzia sare mpya za wanariadha

zinakaa vitenge! Wakenya wazungumzia sare mpya za wanariadha

image
na

Habari02 October 2020 - 09:59
Wakenya kwenye mitandao ya kijamii hawajafurahishwa na sare mpya za wanariadha zilizozinduliwa na kampuni ya marekani ya Nike.

Nike walizindua sare za nchi kadhaa ikiwemo Kenya miezi kadhaa kabla ya michuano ya Olimpiki itakayo andaliwa mjini Tokyo, Japan.

Hata hivyo, wakenya walikimbilia mitandao ya kijamii wakisema kuwa sare zetu sio za hali ya juu au hazivutii macho ikilinganishwa na sare za Nigeria, marekani na nchi zingine ambazo zimefuzu Olimpiki.

Isitoshe, wengine walizilinganisha na nguo za aina ya vitengo huku wakionesha kugadhabishwa kwao.

Soma baadhi ya jumbe zao,

Kimutai: Ours is a raw deal from Nike. By the way, I can go to court because there was no public participation. Our athletes cannot compete with hexagonal honey combs patterns. We need national colours of red, black green and with in patter of shield and spear. Period.

Kenwes: Mlitengenezewa githurai hii ama?

Childmarakwet: Ushenzi sana,who thought about it? KENYANS ARE MORE CREATIVE THAN THIS. Tragic.

Counting days: It can't be too late to get another sponsor who has taste?

Mimi ndimi: Wacheni mchezo aki..hata kama ni nguo za michezo!!!

Tizama picha zifuatazo:


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved