logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Natural beauty ,'Wasanii wa kike wanaofuga nywele fupi za kiasili

Natural beauty ,'Wasanii wa kike wanaofuga nywele fupi za kiasili

image
na CONSOLATA MAKOKHA

Habari18 February 2020 - 16:34

Muhtasari


    Wanawake wengi kwa kawaida wanapenda sana urembo wa nywele huku wakisongwa mitindo tofauti na rani tofauti katika vichwa vyao, lakini si wote wanaofuga nywele hawa hapa baadhi ya wasanii wa kike ambao wanafuga nywele zao za kiasili.

    Akothee 

    Ni msanii ambaye anafahamika sana kwa nyimbo zake na hata kwa kuwakosesha wengi usingizi kwa ajili ya urembo wake.

    Huddah Monroe

    Mmmh!! kwa hakika ana urembo usio na mwingine, huddah kwa kawaida nywele yake kila wakati huwa na mtindo wa kipekee na inakalia freshi kabisa.

    Kirigo Ng’arua

    Alituonyesha upande wake mwingine wa kutokuwa na nywele za kubandika bali ana nywele za kiasili.

    Emmy Kosgei

    Mashabiki wake wamemzoea na nywele zake za kiasili, msanii Kosgei huwa na nywele rembo sana

    Terryanne Chebet

    Walisema urembo wa mwanamke ni nywele lakini kwa hakika urembo wa aliyekuwa mtangazaji wa Citizen Chebet umetokea kila mahali awe ana nywele au la.

    Vivian Kenya

    Ni msanii ambaye ameimba nyimbo zake akiwashirikisha wasanii tofauti, amewaacha wengi wakimwaga mate kwa sababu ya urembo wake.

    Ajuma Nasenyana

    Amefahamika kwa kazi yake ya mashindano tofauti ya mfano.

    Lupita Nyong'o

    hawezi sahulika katika orodha hii, ni mwene urembo wa kiafrika na wa kipekee

    Rue Baby

    Kwa hakika amefuata mtindo wa mama kwa kutosonga nywele yake.


    RADIO JAMBO FREQUENCIES

    Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


    logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved