logo

NOW ON AIR

Listen in Live

"Don't ever play with our Tanasha," Gidi amuonya Diamond

"Don't ever play with our Tanasha," Gidi amuonya Diamond

image
na

Habari02 October 2020 - 05:33
diamond (1)
Hii leo kabla ya kitengo cha Patanisho, Gidi alizungumzia kuhusu uhusiano uliotamatika baina ya mwanamuziki Diamond Platnumz na mkenya Tanasha Donna.

Gidi alisema kuwa amekuwa akishawishiwa na mashabiki wa Radio Jambo ajaribu kuwapatanisha wawili hao kabla ya maji kuzidi unga.

Kwa upande wake, mtangazaji huyo aliwajibu,

"Ngoja ngoja, tunaipanga panga tunaipika na tukipata Diamond yuko available na Tanasha Donna yuko available hapa nchini ama kule Tanzania, tutapiga simu na tuone kama tutaweza kuwapatanisha. " Alisema.

Aliongeza,

Hata ingawa zile habari napata ni kwamba huyu Tanasha ndiye alimuacha Diamond. Tafadhali Diamond baada ya press conference nitumie Whatsapp vile wewe hunitumia na mara moja nipange vile nakupatanisha na huyu msichana wetu."

Isitoshe, Gidi hakusita kumkanya Diamond kutocheza na moyo na akili zake Tanasha haswa ikizingatiwa ni mrembo kutoka humu nchini.

Na tafadhali, don't ever play with our girl!

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved