logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mihemko! Tazama jinsi Awiti wa 'The Real House help' alivyabirikiwa kwa umbo

Mihemko! Tazama jinsi Awiti wa 'The Real House help' alivyabirikiwa kwa umbo

image
na

Habari02 October 2020 - 09:40
NA NICKSON TOSI

Awiti ni muigizaji maarufu wa filamu ya humu nchini 'The Real House help of Kawangware', filamu inayoangazia maisha ya mfanyikazi wa nyumbani na maisha katika mitaa ya mabanda nchini.

Muigizaji huyo ambaye jina lake halisi ni Winnie Rubi anamfahamika tu kama Awiti na mashabiki wake.

Hapa tumekuandalia picha za kichuna huyo ambazo kama hauna wako, basi zitakuacha kama unatokwa na mate bureee!,tazama.

Kuna uvumi kwamba Awiti na mumewe walitengana na kwa sasa, kwa sasa haijulikani kama ana mtu ama bado yuatamba uwanjani tayari kunyakuliwa na mafisi wanaotafuta warembo.

Awiti alisomea katika shule ya wasichana ya St Teresas na kujiunga na chuo kikuu cha Zetech ambapo alisomea shahada katika maswala ya Ustawi wa jamii na Utumishi wa jamii.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved