logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kutengana na mwanangu kumekuwa kama kuota ndoto mbaya-Pierra Afunguka

Kutengana na mwanangu kumekuwa kama kuota ndoto mbaya-Pierra Afunguka

image
na

Habari02 October 2020 - 06:01
91053788_525854684988818_8410661501108055421_n
DJ Pierra Makena anafahamika sana kwa kazi yake na wiki iliopita Pierra alikuwa amekwama ng'ambo kwa ajili ndege yake ilisitishwa kusafiri kwa muda.

Kupitia mtandao wake wa kijamii wa instagram aliandika jinsi alivyokuwa anampeza mwanawe, hapo jana Pierra pia alipost picha na kuandika maelezo mafupi jinsi anavyompenda na kutengana na mwanawe ni kama ndoto mbaya.

Huu hapa ujumbe wake

"If you know me...you will know how much i love my baby.

Being separated has been one of my worst nightmares.

I get anxious..i get sleepless nights....but i thank God for my family who are extremely supportive and assuring me everyday that all will be ok. Thankyou." Pierra Aliandika.

Kwa sasa Pierra Makena yupo kwenye karantini, na kuwa katika kitengo hicho hawezi kuwa na wakati mwafaka kuwa na mwanawe.

Siku chache zilizopita baada ya kupata ndege ya kurudi nchini aliandika,

"FINALLY…! I GOT A BOARDING PASS AND I CAN SEE THE PRIDE OF AFRICA @OFFICIALKENYAAIRWAYS ……WAH MPAKA I AM EMOTIONAL! GOD IS GREAT….

SEE YOU GUYS IN 15 DAYS🙉😔😖😖😖 THANKYOU GUYS FOR YOUR PRAYERS AND CHECKING UP ON ME… WAITING TO BOARD." Makena Aliandika.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved