logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Msanii wa bongo TID afutilia mbali uvumi kuwa anamchumbia Huddah Monroe

Msanii wa bongo TID afutilia mbali uvumi kuwa anamchumbia Huddah Monroe

image
na CONSOLATA MAKOKHA

Habari05 April 2020 - 11:49

Muhtasari


    TID
    Msanii wa nyimbo za bongo TID almaarufu Khalid Mohammed  amekana madai kuwa anamchumbia Huddah Monroe, akiwa katika mahojiano na runinga ya ‘s FNL Show alizungumza na kukataa uvumi huo ulioenea sana katika mitandao ya kijamii.

    Msanii TID ailfahamika sana kwa wimbo wake wa 'Nyota yako' ni kibao ambacho kilienea sana katika mitandao ya kijamii.

    TID alikuwa na ujasiri mwingi sana alipokana uvumi wa kumchumbia sosholaiti wa Kenya Huddah huku akisema kuwa hawajawahi kutana hata siku moja.

    Alikuwa na haya ya kusema,

    “Huddah hata sijawahi kukutana naye tena sasa hivi akitaka tukutane nakuja nimejifunika kuna Covid 19.” TID Alisema.

    Uvumi huo wa TID ulitokea tu baada ya msanii mwenzake Juma JUX pia naye kuambiwa anamchumbia Huddah baada ya picha zao wakiwa Zanzibar kuenea katika mitandao ya kijamii.

    Juma alisema kuwa ni marafiki. Kati yake na Huddah hamna kitu kingine, huddah kwa muda hajakuwa akifichua wanaume ambao amekuwa na uhusino na wao.

    Lakini mwezi jana mwanasosholaiti huyo alifichua kuwa hajawahi kuwa hana mchumba katika maisha yake.


    RADIO JAMBO FREQUENCIES

    Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


    logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved