logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Commander-in-chief of prints! Tazama picha za Uhuru akiwa amependeza na mashati ya kitenge

Commander-in-chief of prints! Tazama picha za Uhuru akiwa amependeza na mashati ya kitenge

image
na

Habari02 October 2020 - 07:10
Kwa kweli tumemuona kwenye runinga zetu kila mara anapohutubia nchi, rais Uhuru Kenyatta kwa sasa amekuwa akionekana akiwa anavalia mashati ya kitenge kila mara anapoonekana kwenye runinga.

Mashati hayo yanachaguliwa na dezaina wa nguo zake wa kampuni ya Rivatex East Africa Limited ilioko katika kaunti ya Eldoret.

Kampuni hiyo ilisema kuwa wanashukuru kwa maana rais Uhuru anawaunga mkono na kuwasaidia katika kazi yao.

“HOPE IS INSPIRED BY WHAT AND HOW WE DRESS. PRESIDENT UHURU KENYATTA IS OUR NUMBER ONE SUPPORTER OF OUR FABRICS." Kampuni hiyo iliandika kwenye mtandao wa kijamii.

Baada ya hapo, Uhuru amekuwa akivaa shati tofauti la kitenge endapo anahudhuria mikutano au kutoa hotuba yake kwa wananchi.

Ni wazi kuwa Kenyatta anapenda mashati hayo. Tazama picha zake kama vile zifuatazo;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved