logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hoja ya kumuondoa gavana Charity Ngilu yawasilishwa kwa spika

Hoja ya kumuondoa gavana Charity Ngilu yawasilishwa kwa spika

image
na

Habari02 October 2020 - 08:52
Charity Ngilu
Hoja ya kumuondoa gavana wa Kitui Charity Ngilu ofisini imewakilishwa kwa spika wa bunge la Kitui, Ngilu ameedaiwa kutuma mamlaka vibaya, kukiuka katiba na kutokuwa na nidhamu.

Ripoti znasema hoja hiyo iliwakilishwa na msimamizi wa wadi ya Athi Peter Kilonzo.

“Members of the public are hereby notified that a notice of motion on the impeachment of Kitui Governor Charity Ngilu has been served to the Speaker of the County Assembly." Ripoti zilisoma.

Ripoti hiyo iliuliza wanachama wa umma kutoa maoni yao kuhusu memoranda ambayo iliwasilishwa kwa spika wa kaunti ya Kitui ,wwanachama hao pia walielekezwa maswali au memoranda hiyo iweze kumfikia spika kabla ya tarehe 26,juni Ijumaa mwaka huu.

Wawakilishi wadi kau ti ya Kitui wamejiandaa kuwa na mjadala dhidi ya kumuondoa gavana Ngilu ofisini jumatatu wiki ijayo.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved