logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ogopa wanawake! ‘Nilitamani bwana ya beste yangu ,na within no time ,nilijipa’

Ogopa wanawake! ‘Nilitamani bwana ya beste yangu ,na within no time ,nilijipa’

image
na

Habari02 October 2020 - 08:15
Kuna baadhi ya wanawake wenye busara ambao kwa wakati wote wamekuwa waangalifu kuhusu rafiki zao na hasa wamekuwa wakifuatilia kwa umakini tabia za rafiki zao mbele ya waume zao ili kugundua chochote cha kuzua  shauku.

Mwanamke mmoja  amesimulia jinsi  alivyooanza kumtongoza mume wa rafiki yake na kuanza kushiriki naye mapenzi kwa lengo la kunufaika na pesa ambazo jamaa huyo alikuwa nazo. Cha Kuhuzunisha ni kwamba baada ya rafiki yake kugundua kwamba mumewe alikuwa na uhusiano wa pembeni, alitafuta ushauri wa mwanamke ambaye alikuwa katika uhusiano huo na mumewe bila kujua.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved