logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Baba Lao: Diamond Platinumz atikisa maungo na Hamisa na Wema katika usiku mmoja

Baba Lao: Diamond Platinumz atikisa maungo na Hamisa na Wema katika usiku mmoja

image
na

Habari02 October 2020 - 08:39
Siku ya jumamosi  msanii Diamond Platinumz  aliandaa bash kubwa kwa hisani ya msanii wake wa kike Zuchu katia usiku uliowaleta pamoja wasanii wote tajika nchini Tanzania katika  paa moja .

https://www.instagram.com/p/CC0ASHAA651/

Miongoni mwa waliohudhuria hafla hiyo ni pamoja na  Lady Jay Dee, Mbosso, Juma Jux,  maneja wa Diamond  Sallam, Esma, Sandra Kassim, Rayvanny, Irene Uwoya, Jokate Mwegelo,  wapenzi wa Diamond  Wema Sepetu, Hamisa Mobetto miongoni mwa wengine wengi

Lakini kilichowapata wengi kighafla ni wakati Diamond alipoingia steji kupiga densi na Hamisa Mobetto  na baadaye akizungumza baada ya hafla hiyo alimlimbikzia Hamisa sifa nyingi sana ;

NASHUKURU MOBETTO STYLES NDIO WAMENIVALISHA.NI DESIGNER NA MIMI KAMA MTANZANIA NINA KILA HAKI YA KUSUPPORT WATANZINIA WENZANGU.

Wakati mmoja pia Diamond alipata fursa kwenye steji kuzinengua na mpenzi wake wa zamani Wema  walipokuwa wakiucheza wimbo a Mbossi ,Hodari .

https://www.instagram.com/p/CCzUP98gF1Y/

Video hizo  mbili sasa zinasambazwa mitandaoni na wengi wanangoja kwa hamu kuona wapenzi wengine wa zamani wa  Diamond Zari Hassan na Tanasha Donna watasema nini kuhusu video hizo


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved