logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nimeona watu wakipoteza maisha yao kwa ajili ya shinikizo ili kufurahisha nchi-Azziad Nasenya

'Nimeona watu wakipoteza maisha yao kwa ajili ya shinikizo ili kufurahisha nchi-Azziad Nasenya

image
na

Yanayojiri01 October 2020 - 11:06
Malkia wa mitandao ya kijamii ya Tiktok Azziad Nasenya aliamua kueleza mashabiki wake safari yake ya kuwa maarufu kwa muda mfupi, Azziad alisema kuwa haikuwa tu kwa bahati nzuri bali kwa bidii yake alioifanya.

Kupitia kwenye mitandao ya kijamii Nasenya alifichua kuwa alikuwa anawaomba watu kumuunga mkono kwa kazi yake hadi pale alikuwa anataka kukata tamaa kwa maana hamna kitu chochoye  kilikuwa kinatendeka.

"Sitaki kujipoteza nimeona watu wengi wakiaga dunia kwa ajili ya shinikizo wakijaribu kufurahisha taifa, shinikizo ya mitandao ya kijamii ni kweli ndio maana huwa naambia marafiki zangu na marafiki wa karibu waweze kuepuka

Litakuharibu kwa maana mwishoni mwa siku hamna mtu yeyote anajali, jipende jinsi ulivyo." Azziad Alisema.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved