logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wewe ni mpango wa kando? Basi hakikisha unazingatia masharti haya+Podi ya Yusuf Juma

Wewe ni mpango wa kando? Basi hakikisha unazingatia masharti haya+Podi ya Yusuf Juma

image
na

Burudani01 October 2020 - 09:36
chic
Sasa imekuwa kama jambo la kawaida kwa wanaume kuwa na mwanamke au wanawake wa pembeni kando na mke rasmi anayefahamika na jamii .Mtindo wa kuwa na mpango wa kando umejaribu kupigwa vita kwa msingi wa maadili lakini yaonekana haukomi hivi karibuni .

Itabidi basi maisha yaendelee chini ya hali hii lakini sasa masharti yanafaa kufutwa ili kuhakikisha kwamba Amani inapatikana katika familia chini ya mazingira haya mapya .

Kuna wasiotaka kuolewa au ndoa na wao wameridhika na kuitwa wanawake wa pembeni au mpango wa kando . Sasa iwapo upo katika kundi hilo Podi hii inakupa mwongozo wa mambo unayofaa kufanya ama kupeuka iwapo unajitambua kama mpango wa kando

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved