logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Covid-19:Watu 183 wapatikana na corona huku idadi ikifika 36,576

Covid-19:Watu 183 wapatikana na corona huku idadi ikifika 36,576

image
na

Habari01 October 2020 - 09:27
Kenya hii leo imesajili visa 183 mpya vya maambukizi ya corona na kufikisha idadi ya 36,576 watu walioambukizwa corona hii ni kutokana na sampuli 4,188 zilizopimwa ndani ya saa 24 zilizopita.

Katibu msimamizi wa wizara ya afya Mercy Mwangangi amesema ya kwamba Watu 5 wameaga dunia kufuatia kutokana na virusi vya corona na idadi ya jumla ya waliofariki kufikia watu 642. 82 wamepona na wote waliopona ugonjwa huo wamefika watu 23,611.

Pia amesema kuwa wahidumu wa afya 945 wameeta maambukizi ya corona huku 16 wakipoteza maisha yao tangu maambukizi ya corona yaanze kurekodiwa nchini.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved