Ghost kupitia kwenye ukuraasa huo alikuwa na haya ya kuandika,
https://www.instagram.com/p/CFbmYenDpZA/
"Mpwa wangi Lawrence Mbithi Musyoki 'Teddy' lala salama haijakuwa jambo rahisi kukubali kuwa sitawahi ona tabasamu yako tena, lala salama." Aliandika Ghost.
Kutoka kwetu wanajambo Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi,hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki.
:Poleni sana
:Kazi ya mungu haina makosa mungu hutoa kisha hutwaa may he rest in peace
:May his soul rest in peace🙏