logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mpwa wake mtangazaji wa Radiojambo Ghost Mulee aaga dunia

Mpwa wake mtangazaji wa Radiojambo Ghost Mulee aaga dunia

image
na

Habari01 October 2020 - 09:21
Ghost-Mulee-mourning-Lawrence-Mbithi-1
Mtangazaji wa Radiojambo wa kipindi cha asubuhi Gidi na Ghost, na aliyekuwa kocha wa mpira wa kandanda Ghost Mulee yuko kwenye maombolezi hii ni baada ya mpwa wake kuaga dunia, Ghost alitangaza kifo chake kwenye ukurasa wake wa Instagram huku mashabiki wake wakituma risala za rambirambi.

Ghost kupitia kwenye ukuraasa huo alikuwa na haya ya kuandika,

https://www.instagram.com/p/CFbmYenDpZA/

"Mpwa wangi Lawrence Mbithi Musyoki 'Teddy' lala salama haijakuwa jambo rahisi kukubali kuwa sitawahi ona tabasamu yako tena, lala salama." Aliandika Ghost.

Kutoka kwetu wanajambo Mungu ailaze roho yake mahali  pema peponi,hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki.

:Poleni sana
:Kazi ya mungu haina makosa mungu hutoa kisha hutwaa may he rest in peace
:May his soul rest in peace🙏

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved