logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wabunge waidhinisha uteuzi wa Anne Nderitu kama msajili wa vyama vya kisiasa

Wabunge waidhinisha uteuzi wa Anne Nderitu kama msajili wa vyama vya kisiasa

image
na

Habari01 October 2020 - 09:19
ANN NDERITU
Kamati moja ya bunge siku ya alhamisi  imeidhinisha uteuzi wa Anne Nderitu kama msajili wa vyama vya kisiasa .

Nderitu  amekuwa  akishikilia nafasi hiyo kwa muda tangu mwaka wa 2018  alipochukua usukani kutoka kwa Luvy Ndung’u  aliyehamia tume ya Haki

Jamati ya haki na masuala ya sheriapia imewaidhinisha  Ali Abdullahi na  Florence Tabu  kama manaibu wa msajili wa vyama

Kamati hiyo inayoongozwa na  Kigano Muturi  hata hivyo imekataa kumwidhinisha Wilson Mohochi kama naibu wa msajili

Rais Uhuru Kenyatta  alimteua Nderitu kuchukua kazi hiyo Septemba tarehe 8  .Kabla ya kuichukua akzi hiyo Nderitu alikuwa mkuu wa usajili wa wapiga kura katika tume ya uchaguzi.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved