logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nilimuoa akiwa na mtoto sasa yuataka kurudiana na baby daddy+Podi ya Yusuf Juma

Nilimuoa akiwa na mtoto sasa yuataka kurudiana na baby daddy+Podi ya Yusuf Juma

image
na

Burudani02 October 2020 - 17:23
Jamaa mmoja amejikuta mashakani baada ya mpenzi wake ambaye wameona kwa muda wa miaka miwili sasa kubadilisha nia kutaka kurudiana na mpenzi wake wa zamani ambaye pia walikuwa wamepata mtoto naye .

Katika Podi hii tunakueleza masaibu ya  uzazi katika hali ambazo kuna mmoja wenu au nyote kuingia katika ndoa au mahusiano mkiwa na watoto kutoka mahusiano ya hapo mbeleni


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved