logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Huyo ni nani? Jacque Maribe azungumzia uhusiano wake na Jowie

Huyo ni nani? Jacque Maribe azungumzia uhusiano wake na Jowie

image
na

Habari03 October 2020 - 10:04
Jacque Maribe na Jowie Irungu waligonga vichwa vya habari wakati wa mauaji ya mwanabishara Monica Kimani huku wakikamatwa na kushtakiwa kwa mauaji hayo.

Jowie akiwa katika mahojiano na radiojambo alipoulizwa ama huwa anazungumza na Jacque alisema la , huu akisema biashara ya Jacque ni ya Jacque na ni vyema asiweze kuzungumzia uhusiano wao.

Aliwaambia mashabiki waweze kuenda youtube na kusukma kazi ya Jacque.

Huku naye Jacque akiwa kwenye mahojian alipoulizwa swali hilo hilo aliuliza Jowie ni nani, na huwa hazungumzii mwanamume huyo.

"Huyo ni nani,huwasizungumzii huyo mwanamume, kwa maana tuna kesi kortini na hamna haja ya kumzungumzia na kupeana khabari kwa kina nini kilichotendeka na cha pili huwa sijali kumuhusu kabisa." Alisema Jacque.

https://www.instagram.com/p/CF2A599HMs9/

Mkewe Jowie wakati wa mahojiano alipoulizwa kama amemsamehe Jowie na kama anatushwa na Jacque alisema,

"Wakati wa Jacque maishani mwa Jowie mimi sikuwa na wakati wangu hayuko mimi si tisho kwa Jacque na Jacque si tisho kwangu." Alisema Eleanor.

Haya basi jinyakulie magazine yako usome mengi kuhusu Jacque Maribe.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved