logo

NOW ON AIR

Listen in Live

kisa ni nini? Moto wateketeza bweni la shule ya upili ya Musingu

zi wakisema ya kwamba waliona moshi katika eneo hilo.Chanzo cha moto huo

image
na Radio Jambo

Habari14 October 2020 - 14:52
oparanya

Moto mkubwa ulizuka katika shule ya upili ya wavulana ya Musingu ilio katika kaunti ya Kakamega.

Nduru za habari zili harifu ya kwamba moto huo uliteketeza bweni moja wa shule hiyo, huku wanafunzi wakisema ya kwamba waliona moshi katika eneo hilo.

Chanzo cha moto huo hakikubainika, huku kisa hicho kikitokea siku mbili baada ya shule kufunguliwa baada ya kufungwa kwa muda wa miezi sita baada ya janga la corona kukita kambi humu nchini.

Masoma yalikatizwa kwa saa kadhaa wakati moto huo ulizuka Kufikia sasa, hakuna majeruhi ambayo yameripotiwa.

Mwaka wa 2019, mikasa miliwi ya moto ilishuhudiwa shuleni humo, mkasa wa pili ukiwa mwezi Novemba 2019.

Gavana Oparanya anatarajiwa kutembelea shule hiyo.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved