logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanasoshalaiti Amber Ray alazwa hospitalini

Amber Ray anasema kuwa kuna 'kitu' ambacho alitumia kupita kiasi na hilo ndilo lilisababisha kulazwa kwake.

image
na Radio Jambo

Habari23 May 2021 - 10:28

Mwanasoshalaiti Faith Makau almaarufu Amber Ray, amelazwa katika hospitali ya Agha Khan Nairobi.

Amber Ray anasema kuwa kuna 'kitu' ambacho alitumia kupita kiasi na hilo ndilo lilisababisha kulazwa kwake.

Hata hivyo alihakikishia mashabiki, jamaa na marafiki kuwa anaendelea kupata nafuu na hayuko hali mbaya.

Huku akichapisha picha akiwa hospitalini, Amber Ray aliandika;

Msijali wadau Niko poa, ile kitu mimi utumia ndio kidogo nili overdose but @akuhnairobi wamei dilute 🤣.

Tazama picha ifuatayo huku tukimuombee apate nafuu ya haraka.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved