logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+Picha) Sonko awashauri wanawake kuvumilia mabwana zao

Aliyekuwa gavana wa Nairobi ametumia picha zake akiwa na bibiye wakati hawakuwa wamefanikiwa na pesa kushauri wanawake kuwaheshimu, kupenda na kuvumilia  mabwana zao bila kuangazia kazi wanayofanya

image
na Radio Jambo

Habari25 May 2021 - 20:31
Sonko na bibiye

Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Mbuvi Sonko amewashauri wanawake kuvumilia waume wao bila kuangalia kazi wanayoifanya.

Huku akitumia picha zinazomuonyesha wakiwa na bibi yake Primrose Mbuvi wakati hawakuwa wamefanikiwa na mali mingi kutoa ushauri, Sonko amewahimiza wanawake kuheshimu mabwana zao, kuwapenda na kuwafanya kujiskia kuwa bora zaidi.

Hizi hapa picha alizochapisha Sonko.

"Nyenyekea bila kujali kazi anayoifanya, hakuna hali ya kudumu maishani. Mungu hubadilisha mambo. Kuwa mke mwajibikaji, vumilianeni na Mungu atabariki ndoa yenu siku moja" Sonko aliandika kwenye mtandao wa Facebook.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved