logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Simba wa mbuga ya Maasai Mara Scarface aaga dunia akiwa na miaka 14

Scarface alipatikana amekufa nyumbani kwake Mara Ijumaa na mgambo.

image
na Radio Jambo

Habari11 June 2021 - 15:46

Muhtasari


  • Simba wa Mara Scarface aaga dunia akiwa na miaka 14

Simba anayedhaniwa kuwa mkubwa zaidi katika  mbuga ya MaasaiMara ya Kenya ameaga dunia akiwa na umri wa miaka 14.

Scarface alipatikana amekufa nyumbani kwake Mara Ijumaa na mgambo.

Kifo chake kinasemekana kuwa cha sababu za asili.

Aliitwa Scarface, kwa sababu ya kovu katika moja ya macho yake.

Kulingana na Huduma ya Wanyamapori ya Kenya, saa saba jioni, Scarface alipumua pumzi yake ya mwisho.

Alikufa kwa amani bila usumbufu wowote kutoka kwa magari na fisi.

Mengi yafuata;

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved