logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Sehemu ya bunge yawaka moto baada ya waandamanaji kuingia ndani

Haya yanajiri muda mfupi baada ya wabunge kupitisha Mswada wa Fedha.

image

Habari25 June 2024 - 12:30

Muhtasari


  • Waandamanaji hao waliingia ndani ya Bunge saa chache baada ya polisi kuwapiga risasi waandamanaji kadhaa nje ya Majengo ya Bunge.

Waandamanaji wa Kupinga Mswada wa Fedha kati yao Jumanne mchana waliingia ndani ya Bunge.

Haya yanajiri muda mfupi baada ya wabunge kupitisha Mswada wa Fedha.

Waandamanaji hao waliingia ndani ya Bunge saa chache baada ya polisi kuwapiga risasi waandamanaji kadhaa nje ya Majengo ya Bunge.

Waandamanaji hao pia walichoma idadi ya magari ya Polisi huku hali ya wasiwasi ikiongezeka nje ya bunge.

Mengi yafuata;

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved