logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Orodha kamilifu ya baraza la mawaziri lilolovunjwa na mawaziri kutimuliwa na rais Ruto

Mkuu wa Nchi alisema baraza jipya la mawaziri litatajwa baada ya mashauriano ya kina katika sekta zote.

image
na Davis Ojiambo

Habari11 July 2024 - 13:37

Muhtasari


  • • Mkuu wa Nchi alisema baraza jipya la mawaziri litatajwa baada ya mashauriano ya kina katika sekta zote.

Rais William Ruto amelivunja Baraza lake la Mawaziri na kuwarudisha nyumbani mawaziri wote na mwanasheria mkuu.

Uamuzi huo hauathiri Waziri Mkuu Musalia Mudavadi na naibu rais Rigathi Gachagua.

Hii hapa ni orodha ya waliotimuliwa;

Waziri                                                     Wizara

1.Kithure Kindiki                 Wizara ya Mambo ya Ndani na Utawala wa Kitaifa

2.Njuguna Ndung'u           Wizara ya Hazina ya Kitaifa na Mipango 

3.Aisha Jumwa                   Wizara ya Jinsia, Utamaduni, Sanaa na Urithi

4.Aden Duale                         Wizara ya Ulinzi 

5.Alice Wahome                  Wizara ya Ardhi, Ujenzi wa Umma, Nyumba na Maendeleo ya Miji

6.Alfred Mutua,                   Wizara ya Utalii na Wanyamapori

7.Moses K. Kuria                   Wizara ya Utumishi wa Umma, Utendaji na Usimamizi wa Utoaji

8.Rebecca Miano                Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda

9.Kipchumba Murkomen             Wizara ya Barabara na Uchukuzi

10.Zacharia Mwangi Njeru                          Wizara ya Maji, Usafi wa Mazingira na Umwagiliaji 

11.Peninah Malonza,                 Jumuiya ya Afrika Mashariki, 'The ASALs & Regional Development'

12.Mithika Linturi                             Wizara ya Kilimo na Maendeleo ya Mifugo

13. Ezekiel Machogu                        Wizara ya Elimu 

14..Davis Chirchir                                 Wizara ya Nishati na Petroli

15.Ababu Namwamba                    Wizara ya Masuala ya Vijana na Michezo 

16.Simon Chelugui               Wizara ya Ushirika na Maendeleo ya Biashara Ndogo Ndogo na za Kati

17.Salim Mvurya                                  Wizara ya Madini, Uchumi wa 'Bluu' na Masuala ya Bahari

18.Florence Bore                                     Wizara ya Kazi na Hifadhi ya Jamii

19.Susan Nakhumicha Wafula           Wizara ya Afya

20.Eliud Owalo                  Wizara ya Habari, Mawasiliano na Uchumi wa Dijitali

21.Roselinda Soipan Tuya         Wizara ya mazingira na Misitu

22.Mercy Kiiru        katibu wa baraza la mwaziri 

23.Justin Muturi    Mwanasheria mkuu wa serikali


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved