logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Majina na nyuso mpya katika baraza la mawaziri la rais Ruto

Rais William Ruto amewateua makatibu 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake

image
na Davis Ojiambo

Habari19 July 2024 - 13:36

Muhtasari


  • •Uteuzi huo unajiri wiki kadhaa baada ya Rais kulifuta baraza lake lote la mawaziri isipokuwa Waziri Mkuu Musalia Mudavadi.

Rais William Ruto amewateua makatibu 11 wa baraza la mawaziri kwa serikali yake.

Uteuzi huo unajiri wiki kadhaa baada ya Rais kulifuta baraza lake lote la mawaziri isipokuwa Waziri Mkuu Musalia Mudavadi.

Katika hotuba yake katika Ikulu, Ruto alisema kundi la kwanza la wateule wa Baraza la Mawaziri litamsaidia katika kuendesha mageuzi yanayohitajika kwa haraka na yasiyoweza kutenduliwa nchini.

Rais ameteua sura mpya katika baraza lake la mawaziri.

Usafi wa Mazingira na Umwagiliaji - Eric Murithi Muga

Elimu - Julius Migosi

Dk Debra Mulongo Barasa - Afya

Dk Margaret Ndungu- ICT

Andrew Karanja - Kilimo


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved