logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanamume abubujikwa na machozi baada ya kuokoa mbwa kutoka kwa moto nchini Marekani

Mbwa huyo hatimaye alipokea matibabu ya majeraha ya moto na hewa ya kaboni dioksidi katika kituo cha uokoaji

image
na Brandon Asiema

Habari10 January 2025 - 13:26

Muhtasari


  • Miller alisema kwamba aligundua uwepo wa mbwa aliyekuwa na majeraha katika upande wa pili wa barabara akiwa chini ya vifusi na mawe.
  • Alimchukua mbwa aliyemwokoa na kumpeleka katika kituo cha uokoaji cha Pasadona akitumai mbwa huyo atakuwa na siku zijazo angavu.