"Leo mtaweka viongozi kwenye kaburi kesho mtaweka
wazazi wenu kwenye kaburi na keshokutwa mtaweka wenzenu, marafiki zenu," Ruto alisema.
Mkuu wa taifa alisema kwamba kwa sasa vijana wa Kenya zaidi ya 120,000 wanatengeneza pesa kutoka kwa mitandao ya kijamii kutokana na matumizi mazuri ya mitandao hiyo.