logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rais Ruto Adai Wanasiasa Wanalipa Vijana Ili Kuweka Picha Za Viongozi Kwenye Majeneza

"Leo mtaweka viongozi kwenye kaburi kesho mtaweka wazazi wenu kwenye kaburi na keshokutwa mtaweka wenzenu, marafiki zenu," Ruto alisema.

image
na MOSES SAGWEjournalist

Habari11 January 2025 - 10:25

Muhtasari


  • "Leo mtaweka viongozi kwenye kaburi kesho mtaweka wazazi wenu kwenye kaburi na keshokutwa mtaweka wenzenu, marafiki zenu," Ruto alisema.
  • Mkuu wa taifa alisema kwamba kwa sasa vijana wa Kenya zaidi ya 120,000 wanatengeneza pesa kutoka kwa mitandao ya kijamii kutokana na matumizi mazuri ya mitandao hiyo.