logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Aliyekuwa waziri Joe Nyaga aaga dunia

Kulingana na familia yake mwendazake aliaga kutokana na virusi vya corona.

image
na Radio Jambo

Burudani11 December 2020 - 11:57

Muhtasari


  • Aliyekuwa waziri Joe Nyaga aaga dunia kutokana na virusi vya coona

Waziri wa zamani wa Maendeleo ya Ushirika Joe Nyaga aaga dunia, ripoti zinazo fikia radiojambo ziliarifu kwamba Nyaga aliaga Ijumaa alipokuwa anapokea matibabu.

Kulingana na familia yake mwendazake aliaga kutokana na virusi vya corona.

Nyaga alizaliwa nwaka wa 1948, alikuwa mwanachama wa chama cha ODM.

Mengi yafuata;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved