logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tanzia:Balozi Orie Rogo Manduli ameaga dunia

Orie atakumbukwa kama mwanamke mzuri ambaye  alipigania kile alichokiamini.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri08 September 2021 - 14:49

Muhtasari


  • Balozi Orie Rogo Manduli ameaga dunia Ripoti zilizotufikia zinathibitisha kwamba mwanasiasa huyo wa zamani aliaga akiwa  nyumbani kwake Riverside
  • Orie atakumbukwa kama mwanamke mzuri ambaye  alipigania kile alichokiamini

Balozi Orie Rogo Manduli ameaga dunia Ripoti zilizotufikia zinathibitisha kwamba mwanasiasa huyo wa zamani aliaga akiwa  nyumbani kwake Riverside.

Orie atakumbukwa kama mwanamke mzuri ambaye  alipigania kile alichokiamini.

Marehemu Orie alizaliwa Maseno kwa Gordon Rogo, mwalimu mkuu na baadaye diwani, na Zeruiah Adhiambo aliyefundisha katika Chuo cha Ufundi cha Kisumu.

Mbunge huyo wa zamani alikuwa akiugua ugonjwa ambao haujafahamika kwa muda sasa.

Mengi yafuata;

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved