logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Eugene Wamalwa waziri wa Ulinzi huku Uhuru akifanya mabadiliko katika baraza la mawaziri

PS wanne pia wamepewa kazi nyingine.

image
na Radio Jambo

Burudani29 September 2021 - 12:55

Muhtasari


  • Rais Uhuru Kenyatta amefanya mabadiliko ya Baraza lake la Mawaziri

Rais Uhuru Kenyatta amefanya mabadiliko ya Baraza lake la Mawaziri.

Katika mabadiliko yaliyotangazwa Jumatano, Charles Keter ambaye alikuwa waziri wa Kawi sasa amepelekwa katika wizara ya Ugatuzi, Monicah Juma aliyekuwa katika Wizara ya Ulinzi amepelekwa katika Wizara ya Kawi. PS wanne pia wamepewa kazi nyingine.

Mabadiliko yanaanza mara moja.

Mengi yafuata;

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved