logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Rais wa zamani wa Afrika Kusini FW de Klerk afariki akiwa na umri wa miaka 85

Bw de Klerk alikuwa mkuu wa nchi kati ya Septemba 1989 na Mei 1994.

image
na Radio Jambo

Habari11 November 2021 - 10:48

Muhtasari


  • Rais wa zamani wa Afrika Kusini FW de Klerk afariki akiwa na umri wa miaka 85

FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.

Bw de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia, alikuwa amepatikana na saratani mwaka huu, kulinagana na msemaji.

Bw de Klerk alikuwa mkuu wa nchi kati ya Septemba 1989 na Mei 1994.

Mwaka 1990 alitangaza kumwachilia huru kiongozi aliyepinga ubaguzi wa rangi Nelson Mandela, na kusababisha kura za vyama vingi mwaka 1994.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved