logo

NOW ON AIR

Listen in Live

KCSE 2021: Fahamu jinsi ya kujua matokeo yako

Takriban watahiniwa 831,015 walifanya mtihani wa KCSE 2021 katika vituo 10,413 kote nchini.

image
na Radio Jambo

Habari23 April 2022 - 09:52

Muhtasari


•Magoha alitangaza matokeo ya mtihani huo katika makao makuu makuu ya KNEC adhuhuri ya Jumamosi.

Education CS George Magoha at KNEC headquarters during the release of the 2021 KCSE results on April,23,2022

Watahiniwa wa KCSE 2021 sasa wanaweza kujua jinsi walivyofanya baada ya waziri wa elimu George Magoha kutangaza matokeo ya mtihani huo.

Magoha alitangaza matokeo ya mtihani huo katika makao makuu makuu ya KNEC adhuhuri ya Jumamosi.

Watahiniwa wanaweza kujua matokeo yao kwa kutuma Index Number yao kwa nambari 20076. Mtahiniwa anaweza kutumia huduma yoyote ya simu kuangalia matokeo yake.

Takriban watahiniwa 826,015 walifanya mtihani wa KCSE 2021 katika vituo 10,413 kote nchini.

Haya ni matokeo ya mwisho ya waziri Magoha kutangaza katika utawala wa rais Uhuru Kenyatta.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved