logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watu 2 wajeruhiwa baada ya kuhusika katika ajali ya ndege Baringo

Chanzo cha ajali bado hakijajulikana.

image
na Radio Jambo

Makala26 February 2023 - 09:43

Muhtasari


  • Ndege hiyo ilianguka Jumapili wakati ikijiandaa kutua katika uwanja wa ndege wa Kampi ya Samaki, ulio karibu na Ziwa Baringo

Wanaume wawili wamenusurika kifo baada ya ndege ndogo waliyokuwa wameabiri kuanguka katika Kaunti ya Baringo.

Ndege hiyo ilianguka Jumapili wakati ikijiandaa kutua katika uwanja wa ndege wa Kampi ya Samaki, ulio karibu na Ziwa Baringo.

Mhifadhi wa Ziwa Baringo Jackson Komen alithibitisha kuwa wawili hao walipata majeraha, kwani ndege hiyo ilikuwa imeharibika vibaya.

Chanzo cha ajali bado hakijajulikana.

Wawili hao walikimbiwa hopitalini ili kupokea matibabu.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved