NTSA: Ripoti ya ajali za barabarani kati ya Januari na Novemba 2022

NTSA walisema kuwa kuna haja ya kuwajibika kwa pamoja katika kuweka barabara zetu salama.

Muhtasari

• Mwenyekiti wa bodi ya mamlaka hiyo alisema mwendokasi, uzembe wa kuendesha gari, kupita magari mengine kwa hatari, kuendesha ukiwa mlevi, kutembea ukiwa mlevi, na kushindwa kutumia mikanda, vinafahamika kuchangia kwa kiasi kikubwa ajali.

Ripoti ya ajali za barabarani tangu Januari mwaka 2022 hadi Novemba
Radio Jambo Grafiki Ripoti ya ajali za barabarani tangu Januari mwaka 2022 hadi Novemba
Image: Hillary Bett