logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mataifa yanayoongoza katika matumizi mabaya ya Bangi Afrika

Nigeria inaongoza barani Afrika huku Tanzania ikiongoza katika ukanda wa Afrika Mashariki.

image
na Radio Jambo

Grafiki24 November 2022 - 13:11

Muhtasari


• Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvutaji sigara vinaongezeka miongoni mwa watu wazima katika angalau nchi 10 barani Afrika, na pia miongoni mwa vijana.

Mataifa yanayoongoza Afrika kwa matumizi ya bangi

Kulingana na ripoti hiyo, bado kuna ongezeko la idadi ya wavutaji sigara barani Afrika kwa sababu idadi ya watu ni vijana, na matumizi ya dawa za kulevya ni ya juu miongoni mwa vijana kuliko wazee.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved