Kulingana na ripoti hiyo, bado kuna ongezeko la idadi ya wavutaji sigara barani Afrika kwa sababu idadi ya watu ni vijana, na matumizi ya dawa za kulevya ni ya juu miongoni mwa vijana kuliko wazee.
NOW ON AIR
Nigeria inaongoza barani Afrika huku Tanzania ikiongoza katika ukanda wa Afrika Mashariki.
Muhtasari
• Ripoti ya hivi majuzi kuhusu matumizi ya tumbaku kutoka kwa kikundi cha kampeni ya afya ya umma na wasomi wa Marekani imegundua kwamba viwango vya uvutaji sigara vinaongezeka miongoni mwa watu wazima katika angalau nchi 10 barani Afrika, na pia miongoni mwa vijana.
Kulingana na ripoti hiyo, bado kuna ongezeko la idadi ya wavutaji sigara barani Afrika kwa sababu idadi ya watu ni vijana, na matumizi ya dawa za kulevya ni ya juu miongoni mwa vijana kuliko wazee.
Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7