Muhtasari
•Timu ya Everton ilimpiga kalamu kocha wake Frank Lampard siku ya Jumatatu kufuatia msururu wa matokeo hafifu.
•Scott Parker alikuwa kocha wa kwanza kutimuliwa msimu wa 2022/23 wakati Bournemouth ilipokatiza mkataba wake mnamo Agosti 2022.