logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu majukumu ya CAS wapya ambao waliapishwa

Tazama baadhi ya majukumu ya Makatibu Waandamizi ambao wameingia ofisini hivi leo

image
na Radio Jambo

Makala23 March 2023 - 11:01

Muhtasari


•Rais William Ruto alishuhudia kuapishwa kwa Makatibu Waandamizi  (CAS) katika hafla iliyofanyika Ikulu.

Siku ya Alhamisi, Rais William Ruto alishuhudia kuapishwa kwa Makatibu Waandamizi  (CAS) katika hafla iliyofanyika Ikulu.

CAS walioteuliwa walitangazwa kwenye gazeti la serikali siku ya Jumatano na Mkuu wa Utumishi wa Umma Felix Koskei.

Baadhi ya  walioapishwa ni pamoja na Mtaalamu wa Masuala ya Kidijitali Dennis Itumbi, Aliyekuwa Seneta wa kuteuliwa Millicent Omanga, Aliyekuwa Mbunge wa Starehe Charles Njagua, Aliyekuwa Gavana wa Nairobi Evans Kidero, Catherine Waruguru (Aliyekuwa Mbunge Laikipia Mashariki), Onesmus Ngunjiri (Aliyekuwa Mbunge wa Bahati), Askofu Margaret Wanjiru, Isaac Mwaura (Aliyekuwa Seneta) na Rehema Jaldesa (Aliyekuwa Mwakilishi wa Kike wa Isiolo) miongoni mwa wengine.

Tume ya Utumishi kwa Umma iliagiza kwamba CASs waajiriwe chini ya Kundi la kazi la CSG 3, wakiwekwa kiwango sawa cha mishahara kama Makatibu Wakuu.

Tazama baadhi ya majukumu ya Makatibu Waandamizi ambao wameingia ofisini hivi leo:-


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved