logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wafahamu mastaa wa Jamaica waliotumbuiza Kenya miaka ya hivi majuzi

Richie Spice ameratibiwa kutumbuiza moja kwa moja katika uwanja wa KICC, Nairobi mnamo Mei 27 .

image
na Radio Jambo

Habari20 May 2023 - 04:57

Muhtasari


•Mwimbaji huyo wa kibao 'Gideon Boots' pia anatarajiwa kuwatumbuiza mashabiki wake mjini Kisumu mnamo Mei 28. 

•Konshens alikuwa msanii wa Jamaica wa hivi majuzi kutumbuiza nchini Kenya.

Nguli wa muziki wa reggae na dancehall kutoka Jamaica, Richell Bonner almaarufu  Richie Spice ameratibiwa kutumbuiza moja kwa moja katika uwanja wa KICC, jijini Nairobi mnamo Mei 27 mwaka huu.

Mwimbaji huyo wa kibao 'Gideon Boots' pia anatarajiwa kuwatumbuiza mashabiki wake mjini Kisumu mnamo Mei 28. 

Ziara ijayo ya Richie Spice haitakuwa yake ya kwanza nchini Kenya kwani aliwahi kutumbuiza tena humu nchini mwaka wa 2017 na 2019. Waimbaji wengine mahiri kutoka Jamaica wakiwemo Tarrus Riley, Glen Washington, Konshens, Cecile, Chris Martins na wengineo pia wametumbuiza Kenya miaka ya hivi majuzi.

Konshens alikuwa msanii wa Jamaica wa hivi majuzi kutumbuiza Kenya.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved