logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Fahamu maeneo ambayo mastaa wa Kenya walienda honeymoon baada ya harusi

Mwaka wa 2015, wanahabari Betty Kyallo na Dennis Okari walifurahia fungate nchini Mauritius na Dubai.

image
na Radio Jambo

Makala29 May 2023 - 12:41

Muhtasari


•Akothee anaendelea kufurahia fungate (honeymoon) na mume wake Denis Shweizer almaarufu Omosh jijini Santorini, Ugiriki.

ambayo mastaa wa Kenya walienda honeymoon baada ya harusi.

Mwimbaji na mjasiriamali mashuhuri wa Kenya Esther Akoth almaarufu Akothee anaendelea kufurahia fungate (honeymoon) na mume wake Denis Shweizer almaarufu Omosh jijini Santorini, Ugiriki.

Wawili hao walifunga ndoa katika harusi ya kufana mnamo Aprili 10 baada ya kuchumbiana kwa miezi kadhaa.

Wanandoa hao ni miongoni mwa watu mashuhuri wa Kenya waliofanya fungate katika maeneo mazuri sana katika siku za hivi majuzi.

Wengine ni pamoja na;

  • Akothee na Denis Shweizer – Santorini, Greece (2023) 
  • Kamene Goro na Deejay Bonez – Elementaita (2023)
  • Catherine Kamau na Philip Karanja – Sychelles (2017)
  • Dennis Okari na Betty Kyallo (walitengana) – Mauritius & Dubai (2015)
  • Juliani na Lilian Ng’aang’a – Meru (2022)
  • Gloria Muliro na Evans Sabwami – New York, USA (2021)
  • Moji Shortbabaa na Nyawira Gachugi – Elementaita (2021)
  • Lucy Natasha na Prophet Carmel – Diani, Kwale (2022)

RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved