Unataka kujua kwa nini Burna Boy anaitwa 'African Giant'? Hizi hapa baadhi ya sababu

Rekodi hizi zimempa msanii huyo umaarufu wa kipekee ambapo amesalia kuwa msanii pekee kutoka Afrika anayezungumziwa zaidi barani Ulaya na Marekani.

Muhtasari

• Wikendi iliyopita, msanii huyo aliweka rekodi nyingine ya kuwa msanii mwafrika wa kwanza kujaza uwanja wa watu 80k nchini Uingereza.

• Burna Boy ndiye msanii pekee wa Afrika ambaye amewahi kutumbuiza kwenye tuzo za BET, BRIT, Grammy na  Billboard.

Kwa nini msanii Burna Boy anaitwa African Giant?
Kwa nini msanii Burna Boy anaitwa African Giant?